Більше пісень від Marioo
Більше пісень від Bien
Опис
Автор: Маріу
Автор: Bien
Виробник: Kanibal
Композитор: Marioo
Композитор: Bien
Текст і переклад
Оригінал
Uuh-uuh, yeah, kutoka alooh
Mmh (it's Kaniba)
Nilikutana naye Kilimani, Nairobi
Elfu mbili na kumi na tano
Kibaridi cha asubuhi, kijua flani sio kikali saa tano
Ooh, Nairobi, elfu mbili na kumi na tano, oh
Nikamchagua yeye katikati ya wenzake watano
Ah, nikamuomba akaniomba namba
Moyoni mwangu nikampa moja
She's my number, ah, number, ah moja
Nikamuomba akaniomba namba
Moyoni mwangu nikampa moja
Now she's my number, ah, number, ah, moja
Yani namaanisha kwamba
Ndio tushaoana
Ndio tushaoana
Tushaoana
Ndio tushaoana
(Tushaoana, tushaoana, tushaoana, ah)
(Tushaoana, tushaoana, tushaoana, ah)
Tulipatana Bongo, Mikocheni
Niko zangu beach nala upepo wa bahari
Alinipita kama meli
Anayumbayumba akidondosa kishenzi
Ooh, Mikocheni nikamfata utadhani zombie
Habari gani mbona uko lonely
Jina ni gani akasema Zari
Nikamwambia aje (aje)
Nikamwambia kwangu ni kwake
Nimshike wapi ndio aje
Nataka moyo wangu uwe wake
Watangoja sana
Wakidhania tutaachana
Mi' na yeye tumeshaivana
Naichapa usiku na mchana
Aiyaiyayah, aah
Yani namaanisha kwamba
Ndio tushaoana
(Tushaoana na yeye sa' ni mi' tu na yeye)
Tushaoana
(Tushaoana na yeye, eh, sa ni mi tu na yeye)
Ndio tushaoana
Tushaoana, tushaoana, tushaoana, ah
Ndio tushaoana
Tushaoana, tushaoana, tushaoana, ah-ah
Oh, yeah, tushaoana
Ooh, alooh!
Переклад українською
У-у-у, так, кутока алоо
Ммм (це Каніба)
Nilikutana naye Kilimani, Найробі
Ельфу мбілі на кумі на тано
Kibaridi cha asubuhi, kijua flani sio kikali saa tano
Ой, Найробі, ельфу мбілі на кумі на тано, ой
Nikamchagua yeye katikati ya wenzake watano
Ах, нікамуомба аканіомба намба
Moyoni mwangu nikampa moja
Вона мій номер, ах, номер, ах, моя
Нікамуомба аканіомба намба
Moyoni mwangu nikampa moja
Тепер вона мій номер, ах, номер, ах, моя
Яні Намааніша Квамба
Ндіо тушаоана
Ндіо тушаоана
Тушаоана
Ндіо тушаоана
(Тушаоана, тушаоана, тушаоана, ах)
(Тушаоана, тушаоана, тушаоана, ах)
Tulipatana Bongo, Мікочені
Ніко зангу пляж нала упепо ва бахарі
Алініпіта кама мелі
Анаюмбаюмба акідондоза кішензі
Ох, Мікочені Нікамфата Утадхані зомбі
Habari gani mbona uko lonely
Джина ні гані акасема Зарі
Нікамвамбія aje (aje)
Nikamwambia kwangu ni kwake
Nimshike wapi ndio aje
Nataka moyo wangu uwe wake
Ватангоджа сана
Вакідханія тутачана
Mi' na yeye tumeshaivana
Найчапа усіку на мчана
Айяяя, ааа
Яні Намааніша Квамба
Ндіо тушаоана
(Tushaoana na yeye sa' ni mi' tu na yeye)
Тушаоана
(Tushaoana na yeye, eh, sa ni mi tu na yeye)
Ндіо тушаоана
Тушаоана, тушаоана, тушаоана, ах
Ндіо тушаоана
Тушаоана, тушаоана, тушаоана, а-а
О, так, тушаоана
Ой, ага!